Micro Spray Hose
TZS 45,000
Hii bei ni ya Inche moja na nusu Kuna size tofauti tofauti,Hii hutumika kunyunyizia maji kama mvua ndogo kwa bustani za mboga mboga,vitalu vya miche na mashambani husaidia katika umwagiliaji kwa sababu ina pressure ndogo pia huokoa na kusaidia kuepuka kupoteza maji mengi na muda wakati wa kutumia.
Kilimo · new · Dar es Salaam / kinondoni /
Muuzaji: Irriguru Tanzania · ⭐ 0.0 (0)